My website
Email : info@star-reachers-secondary.ac.tz Call : +255742847006

Glory English Medium Pre and Primary Day and boarding School

to learn to save
L

LATEST DOWNLOADS

LATEST NEWS

 

KARIBU UJIUNGE NASI

STAR REACHERS GIRLS AND BOYS DAY AND BOARDING SECONDARY SCHOOL ni shule ya sekondari ambayo inapatikana Jijini Mwanza,eneo la buhongwa - Isebanda ambayo inadahili wanafunzi kuanzia kidato cha kwanza(I) mpaka cha nne(IV),

NAFASI ZA KUHAMIA

Pia kuna nafasi za kuhamia kwa wote ambao wangependa kuwa pamoja nasi kusaidiana nao kufanikisha ndoto zao.Uongozi wa shule unapenda kuwakaribisha katika shule yetu uweze kupata elimu bora zaidi.

Glory - Visitors

(Trending and accesibility 24/7)

1
Online
2
Today
3
Yesterday
18
Week
5
Month
836
Year
1817
Total

SECONDARY EDUCTION

(Sifa za kujiunga)

KIDATO CHA I,II,III,IV

Maelezo ya Mchepuo

Sifa :

Kwa Kidato cha kwanza awe amemaliza shule ya msingi,kwa wanaohamia wote hakuna kigezo isipokuwa kwa kidato ch tatu lazim awe amefaulu kidato cha pili

Uwezo/Idadi : 200 Kila Darasa

Fee Structure

Ada : 800,000/=
Muda : 4 kuanzia kidato cha kwanza
Njia y Malipo : NMB Benk akaunti namba : 33410005183 benki akaunti Name : Mkolani Foundation Health,All payment should be done direct through bank and not otherwise and you can pay 6 Installment per year (NB:Hakuna Michango Mingine)